Baada ya maumivu ya muda mrefu, hatimaye Zandile anamwambia Nkosana kuwa amemsamehe kwa kosa lililosababisha kifo cha mtoto wao
Lakini siku ya harusi yao inageuka kuwa yenye hisia kali zaidi pale baba yake Zandile anapofika akiwa katika hali dhaifu ya kiafya…
Anaomba msamaha kwa yote aliyomtendea Zandile na mama yake, kisha anawabariki wanandoa wapya mbele ya vijana wa Kizulu.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ