Proffesa Bill amsisitiza Zai kwamba asimwogope. Vivian amwomba ruhusa Frank, ili aende nyumbani na Deo ampa masharti kwamba akitaka kwenda aende nyumbani kwao lakini Anna amfuma na akasirika. Thomas aenda kijijini kutembelea mama yake na mama yake amwambia habari za mwanae lakini aendelea kumkana mtoto wake.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ