channel logo dark
kapuni
channel logo dark

Kapuni

160DramaPG13

Samabaza jina

Uchungu wa mapenzi – Kapuni

00:04:43
Robert anaenda sambamba na Brown , Ofisini Moto Jordan, Paul na Joyce mambo hayaeleweki Koku bado ana mganda Jordan, mtaani vituko kwenda mbele.John amegoma kazi.
Uchungu wa mapenzi – Kapuni Image : 1068

Vipindi Zaidi

Tamthilia Zetu on Maisha Magic Bongo

Mabinti waliotekwa wapelekwa porini – Upepo Image : 2316
Hambe ataka heshima yake kutoka kwa Chola – Mpali Image : 2320
Hambe ataka heshima yake kutoka kwa Chola – MpaliMambo yanazidi kuchemka kwenye familia ya Hambe! Baada ya mzozo mkali, Hambe anamwambia Chola kuwa amebadilika na hamuheshimu tena. Je, ndoa yao itaendelea kustahimili misukosuko hii?
Nkosana Amvisha Pete ya Uchumba Zandile – The Wife Image : 2323
Nkosana Amvisha Pete ya Uchumba Zandile – The WifeMapenzi yanapamba moto kwenye The Wife! Nkosana amvisha pete ya uchumba Zandile, lakini je, hatua hii itawaleta karibu au kutengeneza matatizo mapya? Angalia mzozo na furaha zinazoendelea katika familia hii yenye siri nyingi.
Joan Afunguka Kuhusu Maumivu ya Ndoa Yake na Aaron – Wa Milele Image : 2317
Joan Afunguka Kuhusu Maumivu ya Ndoa Yake na Aaron – Wa MileleJoan anazidi kuvunjika moyo anasema mwanamume aliyemuoa si yule anayemchukulia leo—amekuwa mtu wa kumumiza, kufuata marafiki wengi, na kumpuuza kama mke. Zaidi ya yote, Joan anahisi historia yake ya maisha, aliyoishiriki kwa upendo na uaminifu, sasa imekuwa kama fimbo ya kumchapia Je, upendo wao unaweza kurekebishwa? Au majeraha haya ni makubwa kuliko maneno?
Tima Abanwa Maswali Kuhusu Tajiri – Huba I S14 Image : 2321
Tima Abanwa Maswali Kuhusu Tajiri – Huba I S14Ritha anamkaba Tima maswali mazito akijaribu kujua walikwenda wapi na Tajiri na waliongea nini Lakini Tima anaendelea kubisha bisha—mpaka anafikia hatua ya kutishia kutoa sindano!
Munir Aongea na Balui Baada ya Kutoka Hospital – JIVU Image : 2318
Munir Aongea na Balui Baada ya Kutoka Hospital – JIVUMunir anamtembelea Balui chumbani kwake baada ya kurudi nyumbani kutoka hospitalini, akitaka kuhakikisha anapata nguvu na utulivu baada ya yote yaliyotokea Wakiwa kwenye mazungumzo ya faragha, Balui anafunguka kuhusu majuto yake na anamwomba Munir amsaidie kumuomba Karen msamaha
Tima Achizika – Huba Image : 2312
Tima Achizika – HubaRitha amefanya kitu cha kutisha! Baada ya kumchoma Tima sindano ya uchizi, mambo yanabadilika ghafla Tima anaonekana kupoteza fahamu na akili zikichanganyikiwa kabisa Je, Ritha anajua alichokianzisha au huu ndio mwanzo wa maafa mapya?
Wanamajoola Wampiga Risasi Ncoba – The Wife Image : 2310
Wanamajoola Wampiga Risasi Ncoba – The WifeMapigano kati ya Wanamajoola na Zulu Brothers yanafika hatua ya hatari Ncoba anapigwa risasi katika shambulio la kushtukiza, lakini ananusurika! Sasa Zulu Brothers wamekasirishwa — wakiahidi kulipiza kisasi kwa nguvu zote
Balui Atoka Out na Karen - Familia Yachukizwa – JIVU Image : 2308
Balui Atoka Out na Karen - Familia Yachukizwa – JIVUBaada ya mwaka mmoja wa mateso, Balui hatimaye anakubali kutoka out, Lakini uamuzi huu unazua hasira kubwa kwa familia yake! Wakati huo huo, Bilo anarudi nyumbani baada ya kupata nafuu — lakini anavunjika moyo kumkuta mdogo wake Kombo akiwa amekata tamaa na kipaji chake cha uchoraji
Hambe Aingiwa na Hofu – Mpali Image : 2311
Hambe Aingiwa na Hofu – MpaliMambo yamekolea kwenye Mpali! Hambe anapaniki baada ya Phil kutangaza kuwa wote waliohusika kwenye wizi wa benki wataishia jela Wakati huo huo, Mzee Nguvu anakaa kikao kizito na wake zake — hali ni ya mvutano, mashtaka, na siri mpya zinazotishia kuvunja ndoa hizi za kifahari!
Vita ya Mirathi Yazidi Kutikisa Familia – Huba Image : 2309
Vita ya Mirathi Yazidi Kutikisa Familia – HubaRoy anamkabili Ritha kuhusu mali walizoachiwa na kaka yao, huku Tima naye akidai sehemu yake ya urithi. Mivutano, hasira na hila zinachukua nafasi.
Kamishna Apata Ushahidi Dhidi ya Zulu Brothers – The Wife Image : 2306
Kamishna Apata Ushahidi Dhidi ya Zulu Brothers – The WifeMambo yanazidi kupamba moto! Kamishna anapata ushahidi unaowahusisha Zulu Brothers na tukio la kumtorosha mfungwa jela Wakati huo huo, Mqhele na mkewe Mahlomu wanafanya tambiko zito kutuliza mizimu ya familia Je, tambiko hili litazaa amani au kuzua maafa mapya?
Kawia Amsababishia Ajali Mudrick – JIVU Image : 2302
Kawia Amsababishia Ajali Mudrick – JIVUKawia anamtembelea Mzee Habibu bila kujua anakaribia kufichuliwa! Fahad, Razia na mtoto wao Mudrick wanaingia ghafla — na muda mfupi baadaye, ajali inatokea! Mudrick anakimbia kwa hofu, bila kujua ukweli mkubwa uliofichwa kuhusu asili yake Je, ajali hii itafunua siri ya familia au kuzidisha majivu ya chuki?
Hekaheka Zarejea kwa Nguzu – Mpali Image : 2303
Hekaheka Zarejea kwa Nguzu – MpaliDrama hazijaisha kwenye familia ya Nguzu! Lindiwe na Tombi wanajadili kwa hasira kuhusu Shupiwe kupewa hela za Mzee Nguzu Wakati huo huo, Frank naye anaonekana akitoroka kwa siri! Je, pesa hizi ndizo chanzo cha mgogoro mpya?
Nicole Afunguliwa Kesi na Kibibi – Huba Image : 2305
Nicole Afunguliwa Kesi na Kibibi – HubaMambo yanazidi kuwa moto! Nicole anakabiliwa na kesi nzito kutoka kwa Kibibi huku Rita naye akijikuta kwenye mzozo wa maneno makali! Je, Kibibi atashinda kesi hii au ni mwanzo wa vita mpya kati yake na Nicole?
Siri za Jivu Zafumuka – JIVU Image : 2295
Siri za Jivu Zafumuka – JIVUFahad na mkewe Razia wanakutana hospitalini kujadili kuhusu ujauzito unaozua maswali mengi. Wakati huo, Bi Barke na Zingizi wanajikuta katikati ya tafrani—mpaka Barke anamfyatulia mtu risasi! Lakini msukosuko hauishii hapo… Chema anapata mshtuko mkubwa kutokana na hali ya ugonjwa wa mumewe Amanzi, na Mchuma anajitokeza kumpa msaada.
Yvonne Chaka Chaka Amshangaza Nguzu Kwenye Birthday – Mpali Image : 2298
Yvonne Chaka Chaka Amshangaza Nguzu Kwenye Birthday – MpaliSherehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Nguzu imegeuka kuwa tukio lisilosahaulika! Familia, marafiki na maadui wote wamekusanyika — lakini kilichowashangaza wengi ni ujio wa Yvonne Chaka Chaka, aliyeimba kwa heshima ya Nguzu! Wakati muziki na vicheko vikitawala, migogoro ya kifamilia haijafichika; hisia, wivu na kisasi vinazidi kuchanganya hali shambani.
JB Akiwa Zanzibar, Mkewe Anatongozwa na Ibwe – Huba Image : 2297
JB Akiwa Zanzibar, Mkewe Anatongozwa na Ibwe – HubaJB anajipatia raha tele visiwani Zanzibar, akila bata kwenye boti bila wasiwasi —ila hajui kinachoendelea kijijini! Mkewe ameanza kuvutiwa na maneno matamu ya Ibwe.
Wana Majoola Waiba Magari ya Kizulu – The Wife S2 Image : 2294
Wana Majoola Waiba Magari ya Kizulu – The Wife S2Mambo yanazidi kuchafuka kwa wana Majoola! Safari hii wameamua kuiba magari ya vijana wa Kizulu. Lakini je, mpango huu utawageukia?
Razia Azidiwa, Balui Akata Tamaa – JIVU Image : 2292
Razia Azidiwa, Balui Akata Tamaa – JIVURazia anaumwa ghafla na hali yake kuwa mbaya! Mumewe na familia ikihangaika kwa kila njia kuokoa maisha yake. Lakini mambo yanazidi kuwa mabaya zaidi pale Balui anapokata tamaa na kujaribu kujiua!
Mwanida Achoshwa na Tabia za Frank – Mpali Image : 2293
Mwanida Achoshwa na Tabia za Frank – MpaliMwanida anamwambia wazi Frank kuwa amechoshwa kuhusishwa na matukio yake ya kihalifu. Wakati huohuo, Hambe na mkewe wanabaki kuchanganyikiwa baada ya kugundua kwamba polisi wameanza kufahamu michezo yao ya kificho.
Kibibi Aachiwa, Kesi Yafutwa – Huba Image : 2291
Kibibi Aachiwa, Kesi Yafutwa – HubaKibibi anashangaa pale anapoambiwa kesi yake imefutwa na wakubwa bila kueleza zaidi nani alikuwa mshitaki. Wakati huo, Ritha na Nicole wanakutana uso kwa uso kwenye mzozo mkali unaoleta msuguano mpya. Lakini mambo yanachukua mwelekeo tofauti pale Kibibi anapokutana na Ray na Faudhia—akiwa na furaha na matumaini mapya ya kufanya biashara na Ray.
Mitihani ya Bilu inazidi kuwa mizito kwenye JIVU! Image : 2287
Mitihani ya Bilu inazidi kuwa mizito kwenye JIVU!Safari hii, maskini Bilu amesingiziwa wizi na raia wenye hasira wakamgeuzia kisasi bila huruma. Je, ataweza kujinasua na kutafuta haki, au hili litazidi kumuangusha zaidi?
Vita ya Kamishna na Zulu Brothers – The Wife Image : 2288
Vita ya Kamishna na Zulu Brothers – The WifeKisasi cha Kamishna kimefika hatua ya hatari! Akiwa bado na majonzi ya kifo cha mkewe, anawageukia Zulu Brothers na kuanzisha vita kali dhidi yao. Lakini je, Zulu Brothers watasalimu amri au vita hii itageuka kuwa damu juu ya damu?