Mpungwe anacharuka baada ya kugundua kuwa Mchuma amempa ujauzito dada yake Ajuaje – ugomvi mkubwa wazuka kati yao. Wakati huo huo, Chema anazidi kuvunjika moyo akimuona mumewe, Mzee Amanzi, akipoteza fahamu na kupooza. Hali ni tete, hisia ni nzito. Endelea kufuatilia JIVU ndani ya Maisha Magic Bongo!
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ