Leo kwenye #HARUSIYETU , maharusi wetu wawili ni Zaitoni na Francis , walikutana kupitia shemeji wa zaitoni huko Zanzibar.Wamekua na uhusiano kwa miaka mitano kabla kufunga ndoa. Ndini na marafiki ni baina ya changamoto walizopitia. Je ni kweli marafiki wanaweza kujenga na kubomoa mahusiano?
Fuatilia safari yao na hatimaye kufunga ndoa leo