#Mizani Bi Mariam akiwa bega kwa bega na Dr Kumbuka, wanatupa mzani wa mada mbali mbali zinazotugusa kwa upande mmoja au mwingine. Je , mwanamme anapojitoa kwa familia yake,ni sawa mke kumea pembe? Na kwa mwanamme inafaa awe wazi kwa mke? #MIZANIYAUSHAMBENGA kila Jumatano saa 1 Usikukupitia DStv160 pekee!