Baada ya vurugu kwenye harusi na mtoto kuuliwa kikatili, Hlomu haoni tena maana ya kusamehe.
Akiwa amevunjika moyo na kugubikwa na hasira, sasa anaitaka familia ya Zulu Brothers kulipa kwa njia ile ile waliyoleta majonzi — kwa damu.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ