Sarafu
160
Drama
PG13
Main
video
Damian ameachiliwa- Sarafu
Video
09 Januari
Usalama wa Mzee Snaga nyumbani kwake una ati ati, Damian ameachiliwa anakuta baba yake ametekwa, Tamari kazama mtegoni, Je Ibra na wenzake wanamipango gani?
Jisajili kuangalia
Up Next
Kichwa ama mkia – Sarafu
03 Januari
Tima katimua kila mtu – Huba
27 Decemba
Jordan uso kwa uso na Paul – Kapuni
22 Decemba
Idris/Devy ameitwa baba – Huba
20 Decemba
Sakina anaolewa – Rebeca
18 Decemba
Rachel aomba talaka- Kapuni
14 Decemba
Maudhui Yanayohusiana
Video
Zuwena hataki majaribu!– Yalaiti
Mume wake Zuwena amleta msichana wa kazi nyumbani na Zuwena amkataa. Remmy ampigia simu mama yake baada ya kugundua kwamba Remmy amemuoa Manka badala ya Stella. Tika amwambia Tanasha chanzo kwake kufukuzwa kazi.
Video
Baba Happy bado yupo kwa Nicole– Huba
Mzee wa Devi aenda kwa Tima na Jude na agundua kwamba Tima ameshaolewa. Tesa anataka kujua mahusiano ya Nicole na baba yake na Happy. Bi Sikitu aonya Roy na Doris kuhusu harusi yao na Happy ajakumtafuta baba yake.
Video
Anna ana penzi jipya!– Jua Kali
Diba afika ofisini kumona Anna wakati Thomas afika ofisini kwa Frank. Mke wa Idi bado anataka mume wake arudi. Mama Thomas agundua uchawi nyumbani kwake, na Vivian anahofu kwamba ametambuliwa. Siri ya Auntie zai yajulikana na Felix akutana na Maria.
Video
Michael ana shida! – Jua Kali
Michael agombana na Vivian akidai kwamba Vivian alitaka kuharibu ndoa yake, pia arudi kugombana na mke wake. Suzy awaonya wenzake akiwa anaondoka. Edu amtafutia kaka yake Sophia pasipoti na Anna akutana na Thomas