Jaribio la Wana Majoola Kumteka Mahlomu – The WifeWana Majoola wamejipanga kumteka Mahlomu!
Mpango wao ni kutumia tukio hilo kama mtego wa kushambulia vijana wa Kizulu.
Je, jaribio hili litafanikiwa au litashindikana, na matokeo yake yatakuwa yapi?
Usikose #TheWife leo kuona ujanja, mipango na mshikamano unavyoshika sura mpya!