Pazia
160
Tamthilia
16
MAIN
VIDEO
HABARI
Bidu atekwa! – Pazia
Video
30 Novemba
Tunu agenda kwamba Sadiq alikua akitumia uchawi ili ampoteze mume wake. Jemo açai mtoto kwa Waridi na Waridi amwambia aende kwa Regina kwa sabbat hana kizazi. Bidu bado ametekwa na awapa laana waliomteka.
Jisajili kuangalia
Up Next
Nandy arudi – Huba
25 Novemba
Ndoa ya saba – Kitimtim
15 Novemba
Semindu apigana na Chifu Kandamsile – Mwali
13 Novemba
“Usilazimishe vitu”– Huba
11 Novemba
Mabaya ya tokea Afrika Kusini– Jua Kali
06 Novemba
Kitundu azamia Afrika Kusini– Jua Kali
01 Novemba
Maudhui Yanayohusiana
Video
Nani atampata Henry? – Pazia S6 Ep16-18
Miriam, Eliza na Gloria bado wagombania penzi la Henry. Bandia bado anamlazimisha Bidu kwenda Congo. Mdoe asikiza kurudi kijijini na Henry aongea na Lolita kuhusu Nana, na Waridi amficha Edu kwa Regina.
Video
Tunu adai talaka kwa Bidu.– Pazia
Odemba arudi kumdai mdai mtoto wake lakini Loreta hataki kumwambia ukweli. Henry afananishwa na Juma Mdudu na Mdoe adia abaki jela. Hatimaye Tunu adai talaka kwa Bidu na Edu ajiwa na majini.
Video
Mdoe ataka kuoa tena! – Pazia
Fred aomba kuongea na Gloria, na Gloria adhani kwamba anampango wa kumrudisha kwa baba yake. Edu aanza kupoteza akili wakati Chamsia asema kwamba ana mpenda Fred. Waridi agombana na Regina wakati Bidu amwambia Tunu kwamba anatumia pesa nyingi. Mdoe aapa kumuoa Chamsia.
Video
Regina ajaribu kumtoa Henry jela – Pazia
Sakina awazaka kama Jemo anamchezeea akili. Regina ajaribu kumtoa Henry jela na Gloria na Eliza wataka kwenda Zanzibar. Bidu na Tunu waishia kugombania pesa toka kwa Waridi.