Kibibi aamua kuwaalika washiri tofauti kwenye nyumba yake ya likizo kuonyesha maisha yake yako juu, na hapa ni listi ya kila mtu aliyekuwepo:
Kibibi
Muandaaji wah ii likizo na mhusika maaluum Pamoja na Tesa, alikuja na mwanae Angel.
Tesa
[embed Tesa image]
Mshiriki rasmi kwenye hii likizo Pamoja na Kibibi, Tesa amekuja kwa sababu anataka kutumia muda huu kurudiana na Pedro.
Pedro
Alialikwa na Tesa, wakati Tesa akisinzia kwamba amealikwa kikazi. Amemuacha mchumba wake Aneth nyumbani na amemuongopea kwamba hayupo na Tesa.
Tim ana Devi
Hawa wanandoa wawili kwenye hii retreat na waliakwa na mama yake Devi, Tesa, lakini Pamoja na Jude, Tesa anampango wa kuvura ndoa yao.
Roy
Roy alialikwa rasmi na Kibibi Pamoja na Doris, lakini Doris alikataa kuja. Alipofika kwenye retreat alikutana na Nandy, mpenzi wake wa zamani na alianza kuwaza kama wanaweza kurudiana.
Chidi na Happy
Happy ilikuwa lazima aje kwasababu Tima alileta Watoto na Happy kazi yake ilikuwa kuwaangalia hawa watoto, Chidi alikataa kubaki na aliambatana na Happy.
Nandy na Yakubu
Nandy alialikwa na Kibibi aje kutoa burudani na kwasaabu Yakubu ni mpenzi wake na maneja wake na yeye pia alialikwa.
Sada
Sada likuja na Nandy na Yakubu na pia ndie mpishi rasmi.
Jude
Jude amekuja kwasababu yeye na Kibibi na Tesa wanampango wa kuvura ndoa ya Devi na Tima, ili Jude arudiane na Tima.
Kichuna
]
Kichuna anaye julika kama Nicole kwa wengine, amealikwa na Jude ilia je kuvuruga ndoa ya Tima na Devi.
Fuatilia #HubaTZ kila Jumatatu mpaka Ijumaa saa 3 usiku na marudio kila Jumamosi saa 10:30 jioni ndani ya DSTV chaneli 160 kufuatilia kasheshe zote ndani yah ii retreat.

