maisha magic bongo logo

Mwanida Achoshwa na Tabia za Frank – Mpali

Video03 Oktoba

Mwanida anamwambia wazi Frank kuwa amechoshwa kuhusishwa na matukio yake ya kihalifu. Wakati huohuo, Hambe na mkewe wanabaki kuchanganyikiwa baada ya kugundua kwamba polisi wameanza kufahamu michezo yao ya kificho.