Mwanida anajikuta kwenye hali ngumu baada ya Frank kuanza kuhisi mtoto si wake . Wasiwasi huu unaweza kutikisa ndoa na familia yao nzima.
Wakati huo huo, Lindiwe anaingia kwenye malumbano makali na binti yake Bupe kuhusu pombe . Lakini majibu ya Bupe yanatikisa zaidi — anasema chanzo cha ulevi ni mama yake mwenyewe! Familia ya Nguzu inazidi kuyumba huku kila siri ikileta maumivu mapya.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ