Bando amfokea mke wake juu ya yeye kuongelea mambo ya Viola na Sauda wataka kufunga ndoa na sio familia yake. Ibrahim asikitiswa na mke wake baada ya kugundua Helen anatembea na kijana mdogo na Rafael aomba kurudiana na mchumba wake wa zamani.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ