Kibibi na Roy wanaanza ukurasa mpya kwa kufanya kazi pamoja kwenye club . Lakini mambo hayaendi kama alivyotarajia, kwani Roy anaonekana kulewa kazini—jambo linalomkasirisha sana Kibibi.
Katika hasira na maumivu, Kibibi anamwambia wazi kuwa hana msaada wowote… na penzi lao linaanza kuyumba .
Wakati huo huo, tunamuona Tajiri akimshauri Ritha kwa busara: ugomvi haujengi, ni muhimu kutafuta njia za hekima kupata suluhu .
Lakini je, ushauri huo utasikilizwa? Au moto wa migogoro utaendelea kuwaka
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ