Logo
Kovu SP BB
channel logo

Kovu

158Telenovela13

MMBongo muvi leo, Ndoa ya Utata!

News
24 March 2016
Usikose kutazama kisa hiki leo saa 18:30 DSTV Chaneli 160! Maisha Magic Bongo, Ni Yetu!
Ndoa-ya-UtataRES

NDOA YA UTATA
24 MACHI 2016
18:30 EAT.

Mamake Dalmas anahakikisha amevunja ndoa ya mwanawe. Dalmas anamwoa mwanamke ambaye mama yake amemchagulia aiitwaye, Sandra! Huyo kumbe ni fisi kwa ngozi ya kondoo! Anauza nyumba ya Dalmas, isitoshe, Dalmas anasimaishwa kazi! Mke wake wa zamani atamsaidia?

Usikose kutazama kisa hiki leo saa 18:30 DSTV Chaneli 160! Maisha Magic Bongo, Ni Yetu!

Wasiliana nasi katika kurasa zetu za facebook, Twitter na WeChat.