Logo
Kovu SP BB
channel logo

Kovu

158Telenovela13

Diamond Platnumz na Zari wapuuza shutumu za King Lawrence!

News
20 August 2015
King Lawrence adai 'Princess Tiffah' ni mtoto wake! Diamond Platnumz na Zari wapuuza madai haya.
11351999_104770406541206_1765468179_n



Mwanamuziki maarufu Diamond Platnumz @diamondplatnumz na mchumba wake Zari Hassani @zarithebosslady wamekumbwa na madai ya kwamba mtoto wao Tiffah, ni wa King Lawrence aliyekuwa Mpenzi wake Zari.

 



King Lawrence amedaiwa kupeleka kesi yake Mahamkamani na kupewa amri ya kumpeleka mtoto Tiffah akapimwe damu kubaini asilia yake ya uzazi.

Diamond na Zari hawana nia ya kujibu shutuma hizi na wanaendelea kumlea mwanao kwa mapenzi. Katika habari zingine, ilisemekana kwamba Diamond Platnumz alilipa mahari kwa familia ya Zari na kumwoa.

Tunawatakia kila la heri!

Wasiliana nasi katika kurasa yetu ya Facebook na Twitter, pia Instagram na WeChat: MaishaMagicEast