Logo
Kovu SP BB
channel logo

Kovu

158Telenovela13

Fedheha, leo jioni hapa MMBongo!

News
12 November 2015
Baada ya kifo cha Mamake mzazi, June anaishi na baba yake,mama wa kambo na binti wao.
vlcsnap-2015-10-01-11h49m31s189

Baada ya kifo cha Mamake mzazi, June anaishi na baba yake,mama wa kambo na binti wao.
Mwana wa Tajiri anayitwa Alex anamwona June shambani akalogwa na penzi lakini mama wa kambo anataka bintiye aolewe na Alex. Ungana nasi saa kumi na mbili alasiri katika Chaneli ya DStv 160!





Wasiliana nasi katika kurasa zetu za facebook, Twitter na WeChat.