Huu ni uchizi gani wa mapenzi? – MwaliNozo agenda kwamba baba yake alijaribu kujiuua juu ya Mwanahawa na mama yake anawasiwasi kwamba Mwanahawa amemfanya kitu. Semindu ana wasiwasi mkubwa na Nozo akutana na Zawadi. Semindu adai kurithi kiti cha baba yaka.