Mwaka wa 2022 ulijaa ngoma nyingi sana za Bongo Flava zilizo vuma. Tuliwauliza watazamaji wa vipindi vya #MMBKumiZaWiki na #MMBBass kutuamia ni nyimbo gani walizipenda mno mwaka huu. Hapo chini ni orodha ya baadhi za nyimbo walizochagua. Jibu maswali yanayo ambatana na kila nyimbo kutuambia kama unakubali nao:
- Naogopa – Mario na Harmonize @ua_bei
- Beer Tamu – Mario @mathiusjacob
- Utu – Ali Kiba @neylciousnay
- Puuh – Billnass na Jay Melody @its_naigirl
- Nakupenda – Jay Melody @momtreyson
Kumbuka kuanza mwaka wako ukisherekea na nyimbo kali sana ndani ya vipindi vya #MMBBass kila Jumatatu hadi Alhamisi saa 11 jioni na pia jiunge na #MMBKumiZaWiki kila Ijumaa saa 11 jioni ndani ya DStv chaneli 160! Tunapenda kuwatakila mwaka mpya mwema uliojaa furaha!