channel logo dark
Jua Kali
channel logo dark

Jua Kali

160Tamthilia16

Mheshimiwa Festo Sanga ampongeza Leah Richard Mwendamseke (Lamata) kwa kazi zake na mchango mkubwa katika tasnia ya sanaa nchini – Maisha Magic Bongo

Habari
13 Juni 2023
Mbunge wa Makete Mheshimiwa Festo Richard Sanga ametoa pongezi zake za kwa muandishi , msimamizi na muuandaji wa tamtilia za #MMBKapuni na #MMBJuaKali, nchini Leah Lamata kwa kukuza uzalishaji na kuitangaza wa tasnia ya Filamu nchini Tanzania
Article

Mheshimiwa  Festo pia ametoa wito kwa  viongozi wa bodi ya Filamu na wizara yake  kuchukua hatua kusaidia wadau wa tasnia ya filamu nchini. Amesisitiza umuhimu wa kuweka mazingira mazuri kwa wabunifu na wasanii, na pia ameomba serikali na wizara husika kuwekeza Zaidi katika watu kama Leah na waandaji wengili , wapate fursa mbali mbali mikopo na hata kuanzisha tasisi maalum za kuwaongezea ujuzi na urahisi wa kutumia ofisi mbali mbali za serekali katika kufanikisha Sanaa zao na. Hii itapanua wigo la ajira kwa vijana wengi nchini.

Angalia baadhi ya kazi za Lamata alizofanya ndani ya tamthilia ya #MMBJuaKali:

Akihusisha wasanii  wakubwa ndani ya bara la Afrika:

Safari yake na matukio akiwa na kundi la Jua Kali Afrika Kusini:

Safari yake na matukio akiwa na kundi  la Jua Kali Ghana:

Endelea kuburudika na kipindi cha #MMBJuaKali kila Jumatano hadi Jumapili saa 3:30 usiku ndani ya DStv chaneli 160!