channel logo dark
channel logo dark

Jua Kali

160Tamthilia16

Ungekua Michael ungemfanya nini Mary? – Jua Kali

Habari
08 Februari 2021
Ndoa ya Michael na Mary iko matatani na vurugu zinazidi kuongezeka.
Screenshot 2021 02 08 at 13

Mapigano kati ya Michael na Mary yamezidi na wiki iliyopita Mary alizidiwa kabisa. Katika mgogoro wao,Mary aliamua kuchua ndoo iliyo jaa maji na kumumwagia Michael wakati Michael alikuwa tayari kwenda kazini. Hili tendo lili mkashirisha Michael sana lakini, Mary bado ni mke wake, sasa afenye nini? Tumewauliza watazamaji wetu wa Maisha Magic Bongo na haya ndiyo majibu yao:

 

  1. “Huyo mwanamke ni mimi mtupu” - @ms.lisandra
  2. “Namsamehe, ni haki yake” - @mwahijana
  3. “Mwanamke kiboko huyu duh, asubuhi yote hii” - @beatricegodwin2
  4. “sijui yu yaani” - @abuu_wibmer1074
  5. “Ningemuacha coz ni haki yake kama mke ndoa ni kusikilizana” -@mariejojo843
  6. “Michael, unachomfanyia mkeo sio vizuri” -@delienoffcial
  7. “Ningembusuu atulie kwanza” - @mimi_rosiee
  8. “Alichopa ni size yake hata mimi sipendi ujinga” -@queenfaryda
  9. “Ningemshika adabu” -@dorygee2
  10. “Namsamehe Mary mana anaongea ukweli” -@mbumi_abdallah

Fuatilia tamthilia ya #JuaKaliTZ kia Jumatano hadi Ijumaa saa 3:30 usiku ndani ya Maisha Magic Bongo, chaneli 160. Pia kumbuka kwamba unaweza kuangalia vipindi vyote kupitia Showmax.