George
Ameoa lakini anamdanganya mke kwasababu ana uhusiano wa kimapenzi na Anna.
Sophia
Ni msichana masikini anaye fuata wanaume wa mitaani ili aweze kupata pesa ya kusahidia familia yake.
Profesa Bili
Mwalimu wa chuo na bingwa wa hesabu, anatumia watu mbalimbali kufanya uchafu.
Auntie Zai
Mama yake na Naira na ni mfanya kazi wa nyumbani kwa Professa Bill.
Naira
Mtoto wake na Auntie Zai, anampenda Felix na ana mahusiano naye ya siri.
Bibi Ana
Mama yake na Professa, anaishi na familia yake na pia ni mkweli
Kenzo
Mume wake na Vivian
Vivian
Mke wake naKenzo, hampendi tena Kenzo na ameanza mahuasiano ya kimapenzi na bosi wake.
Love
Anafanya kazi kwenye kampuni na Vivian lakini anamchukia sana Vivian.
Felix
Kijana anayependa kuchezea wasichana lakini anampenda Maria.
Maria
Mtoto wa kichristo aliye okoka sana, lakini anampenda Felix na anaficha ukweli kuhusu
Suzana
Alikuwa na mahusiano na mzungu kwa sababu ya mama yake, alizaa mtoto mweusi na mama yake anataka mtoto huyu auwawe.
Anna
Dada mwanasheria aliye salitiwa na George baada ya kumwona George na mke wake na watoto.
Mary
Mke wake na Michael, ana shida sana ndani ya ndoa yake.
Michael
Mume wake na Mary, wana matatizo mengi ndani ya ndoa yao.
Usikose kuangalia #JuaKaliTZ kila Jumatano hadi Ijumaa saa 3:30 usiku na marudio kila Jumamosi saa 7 mchana. Pia kumbuka unaweza kuangalia vipindi vyote vya Maisha Magic Bongo muda wowote ndani ya Showmax!
