Baada ya kugundua kwamba Mr Thomas alikuwa na mchepuko, Maria pembeni, Stella aliumizwa moyo. Alijaribu kila njia ili mume wake arudi nyumbani. Kwanza alimwambia Felix kwamba Maria, alikuwa ana tembea na baba yake na piga aliishia kumpiga Maria mpaka Maria alivyoishia hospitali lakini bado Mr Thomas hakumwacha Maria.
Hatimaye Mr Thomas aona jinsi alivyomuumiza mke wake na ataka kubarisha mambo nyumbani kwake. Baada ya kuomba msamaha Stella hajui afanye nini, je kama ungekuwa Stella ungemsamehe? Piga kura yako hapo chini
Jiunge nasi kila Jumatano hadi Ijumaa saa 3:30 usiku ndani ya Maisha Magic Bongo!
