Kipindi kipya cha #MMBDosari kitaanza Jumapili tarehe 20 Aprili saa 3 usiku ndani ya DStv chaneli 160, Maisha Magic Bongo. Hapo chini ni baadhi ya waigizaji wa kipindi hiki:
Queen
"Kumbukumbu zingu zimekua pingu kwangu"
Akida
"Mamlaka ndiyo mambo yote"
Amari
"Adui yako anakula nawe meza moja"
Jabari
"Yaliopita sii ndwele tugange yajayo"
Kenzo
"Liwalo na like, mpambano uendele!!"
Nuru
"Penye nia pana njia"
Shasha na Kiki
Usikose mwanzo wa kipindi hiki Jumapili, tarehe 20 Aprili, saa 3 usiku ndan ya DStv chaneli 160!