Logo

Tweets 10 zitakazo kushawishi kutazama Jua Kali – Maisha Magic Bongo

Habari
15 Novemba 2022
Kipindi cha Jua Kali cha vuma ndani ya Twitter!
HDTV 1920x1080

Tamthilia ya Jua Kali inapendwa sana nchini Tanzania na kwa sasa hivi inaongoza kuwa tamthilia ya kwanza nchini. Washambiki wa #MMBJuaKali wamekuwa wakiburudika na jinsi tamthilia hii imeweza kuwaunganisha wasanii tokea nchi tofauti ndani ya bara la Afrika. Watanzania washerekea kipindi cha #MMBJuaKali ndani ya mtandao wa kijamii wa Twitter. Soma hapo chini kujua ni nini watazamaji wetu wa #MMBJuaKali wanasema kuhusu tamthilia hii:

Tumeona jinsi Jua Kali ilivyotupeleka Ghana, Kenya na mpaka Afrika Kusini. Endelea kufuatilia maongezi kuhusu tamthilia hii ipendwayo ndani ya mtandao wa jamii wa Twitter, @MaishaMagicTZ kujua tutaenda wapi tena. Pia usikose kuangalia #MMBJuaKali kila Jumatano hadi Jumapili saa 3:30 usiku ndani ya DStv chaneli 160!

Mengine: