Maisha magic bongo inakula shavu jingine tena kupitia tamthilia zetu na raundi hii mpaka walengwa wa nyuma ya kamera wanapaa kupitia jukwaa la Tuzo za Tamthilia Tanzania.
Waloteuliwa ndo hawa :
Wasanii uwapendao katika tamthilia ya JIYA, HUBA, KITIMTIM, DOSARI, GHARIKA na MPALI wameteuliwa kuania Tuzo za Tamthilia Tanzania mwaka 2024/2025, katika vipengele tofauti tofauti
Na hii ndio orodha ya baadhi ya wale walioteuliwa:
Muigizaji Bora Mwanaume (Best Actor)
Senteu (Gabo) – Jiya
Felix (Dennis Louis) – Jua Kali
Roy (Tito Zimbwe) – Huba
Muigizaji Bora Mwanamke (Best Actress)
Anna (Godliver Gordian) – Jua Kali
Nelly (Nelly Kamwelu) – Huba
Muigizaji Bora Mpambe Mwanamke (Best Supporting Actress)
Marji (Nusrat Rafique) – Jiya
Vivian (Lulu Diva) – Jua Kali
Tima (Asha Salum) - Huba
Muigizaji Bora Mpambe Mwanaume (Best Supporting Actor)
Jude (Benedict Kinyaiya) – Huba
Thomas (Stanley Msungu) – Jua Kali
Don G (Luckey Luckamo) – Jiya
Mwongozi mwema (Best Director)
Aziz Mohammed – Jiya
Aziz Mohammed – Huba
Leah Mwendamseke (Lamata) – Jua Kali
Picha Bora (Best Cinematography)
Abner Ondiek Anyang’ – Jua Kali
Tadeo G. David – Jiya
Godfrey E. Mtamani – Huba
Muswada Bora (Best Screenplay)
Zara Mwangi – Huba
Lea Mwendamseke (Lamata) – Jua Kali
Zaria Mohammed – Jiya
Muziki Bora (Best Music Score)
Switch Music Group – Jua Kali
Akili Mohammed – Jiya
Mbande Kinyo, Tacktick Music and Ngatale Music – Huba
Zoezi rasmi la kupiga kura limefunguliwa. Ili kupiga kura na kuona orodha kamili ya wale walio teuliwa:
- Tembelea tovuti rasmi ya tuzozatamthilia.info
- Katika ukurasa wa mwanzo, bofya kitufe cha VOTE
- Chagua category unayopenda katika orodha na uchague jina na msanii aliyeteuliwa
- Bonyeza msanii unaye muunga mkono katika ukurasa wa msanii ya ubofye VOTE
- Ingiza idadi ya kura unayo taka kupiga na nambari yako ya simu na ubonyeze OK
- Utapokea ujumbe wa SMS na pini ya udhibitisho. Weka pini hiyo ili kukamilisha mchakato wa kupiga kura
- Kura moja ina thamani ya 1000 tsh
Unakaribishwa kupiga kura mara nyingi uwezavyo ili ukuze sanaa ya tamthilia za Tanzania.
Ahsante Sana!!!!