Sameer Imam anayeijua na kuiheshimu dini yake kuliko kitu chochote, hakuwahi kukosa ibada wala madrasa siku zote. Alikua na msahafu na tasbihi mkononi mwake hakuna dua asiyo ijua hakuna swala asiyo swali.

Mawaidha yake siku zote yalikua na busara sana. Ijapokuwa ni mdogo, aliweza kukaa na watu wazima na kuwafunduisha kanuni zote za Imani, lakini anajikuta akiingia katika urafiki na watu walio potosha kabisa misimamo wake. Je, Sammeer ataweza vipi kutubu dhambi hili? USIKOSE filamu ya Sammer, leo saa 10:50 jioni! Kupitia Maisha Magic Bongo!

Mawaidha yake siku zote yalikua na busara sana. Ijapokuwa ni mdogo, aliweza kukaa na watu wazima na kuwafunduisha kanuni zote za Imani, lakini anajikuta akiingia katika urafiki na watu walio potosha kabisa misimamo wake. Je, Sammeer ataweza vipi kutubu dhambi hili? USIKOSE filamu ya Sammer, leo saa 10:50 jioni! Kupitia Maisha Magic Bongo!