Tangu Doris alivyoaanza kuvaa nywele zaka kama Beyonce watu wengi aliaanza kumfananisha nae. Watu wanasema kwamba kila mtu ana pacha wake duniani na wengine wenye bahati wame fanana na mastaa. Ndani ya #MMBHUba tumeona jinsi Doris na Beyonce walivyokuwa wakifanana kwa mbali na tulitaka kujua ni nani kati ya washabiki wa Maisha Magic Bongo alifanana na mastaa wowote duniani?
Hawa ndio waliotuambia mapacha wao:
@iam_adiah na Victoria Kimani
@neshakaulo na Wema Sepetu na Lulu Diva
@elliona na Wizkid
Yunic Daimon na Mbosso
Dorah Ernest na Yemi Alade
Jallyer Saldath na hamissa Mobetto
Salma Mohammed na Rita Dominic
Tembelea kujionea mwenyewe.
Fuatilia thamthilia ya #MMBHuba kila Jumatatu hadi Ijumaa saa 3 usiku ndani ya Maisha Magic Bongo, chaneli 160.