Sada na Yakubu
Sada na Yakubu, ni kaka na dada waliokulia kijijini.Baada ya Yakubu kukutana na Nandy na kuamua kuhamia mjini, Sada aliamua kumfuata mjini. Hawa ndugu wako karibu sana lakini tatizo lao kubwa ni kwasababu Sada hataki Yakubu awe na mahusiano na Nandy.
- Nandy na Chibu
Ingawa Nandy na Chibu wameishi maisha tofauti baada ya Nandy kurudi kijijini walilazimishwa kuishi Pamoja. Baada ya mume wake wa kwanza wa Nandy alivyowateka Nandy, Sad ana Chibu. Nandy aliamua kutoka kijijini wakati Chibu alibaki.
- Miraj na Doris
Miraj na Doris ndio wamegundua kwamba ni ndugu baada ya baba yao kufariki. Wamekuja pamoja kwenye retreat ya Kibibi ili kumuumbua, lakini Miraj apotea.
- Kichuna na Pedro
Kwenye retreat ya Kibibi kila mtu aligundua kwamba Kichuna na Pedro ni kaka na dada. Mahusiano kati ya Kichuna na Pedro sio mazuri kabisa na kila mtu aligundua kilo.
Usikose kuangalia #HubaTZ kila Jumatatu hadi Ijumaa saa 3 usiku na marudio ila Jumamosi saa 10:30 jioni. Pia angalia msimu wote wa #HubaTZ ukijiunga na Showmax.