Logo

Mahojiano na Vanessa Mdee, Malkia wa Bongo flava!

Habari
05 Julai 2016
Mwimbaji maarufu wa Bongo flava Vannessa Mdee anawaptia maripota wa DStv Tanzania mahojiano! Tazama!
Mahojiano na Vanessa Mdee, Malkia wa Bongo flava! Image : 53

KARIBU VANESSA MDEE!


Mwimbaji maarufu wa Bongo flava Vanessa Mdee anawaptia maripota wa DStv Tanzania mahojiano kuhusu collabo yake na waimbaji-wenza kutoka Kenya na 2Face wa Nigeria. Screen Shot 2016-07-05 at 2.34.58 PM


Project yao inayoitwa DISRUPTION AFRICA TOUR itakuwa Nairobi Kenya. Mwimbaji huyu ndiye aliyetukabidhi tuzo la muziki moto moto kama single yake " Hawajui' na 'Come Over' Vanessa anawafungulia roho mashabik wake na kuongea juu ya maisha yake, mitindo ya mavazi na ibada za kila siku akiwa nyumbani kwake!





Wasiliana nasi katika kurasa zetu za facebook, Twitter na WeChat.