Mwanakondoo Maria ameyakanyaga , kama tunavyojua Maria amekuwa akiwachanganya Thomas na Frank kwenye mahusiano kwa muda mrefu sasa. Kabla ya kuanzisha mahusiano na kaka Fuleh apo nyuma , alikuwa tayari kwenye mahusiano na Lukas. Baada ya kukutana na Frank alimgeuka na kumsababishia dhuruba kubwa, wakati huo huo alikua akimchanganya Thomas na mwanae Felix.
Na kwa sasa Maria na Frank bado hawajaweka mambo yao saw ani baada ya kugundulika kwamba mtoto wa Michael ni wake na Mary kutoweka .
Maria akarudisha majeshi kwa Thomas kwa nguvu zote siku za hivi karibuni na amegundua ana ujauzito na hajui ni wa nani kati ya Thomas au Frank , amefanya maamuzi ya kuto kuitoa hiyo mimba huku akiwa na mpango wa kuwabebesha majukumu Frank Pamoja na Thomas.
Je atafanikiwa kuwapanga bila ya wao kujua?
Usikose kuangalia #MMBJuaKali kila Jumatano hadi Jumapili saa 3:30 usiku ndani ya #MaishaMagicBongo