Logo

Bi Rashida Wanjala

Habari
12 Decemba 2019
Screenshot 2020-01-06 at 06.12.39

Shilawadu

Kungwi maarufu mjini Bi Rashida Wanjala anahojiwa na  kamanda Mzee mkavu! majibu yake ni sasa!!

Mkavu: Watumia muda gani kujiadaa?

Rashida: situmii nguvu sana kwa vile nimezoea, nimekuwa kwa hii game kwa mda mrefu.

Mkavu: Umefanya matukio makubwa na kushiriki kwa maswala ya Ms Tanzanzia, je ulianzia wapi?

Rashida: Nilipokuwa shule nilikuwa nashiriki kwenya fashion shows. Siku moja nikaenda nyumbani, watu wengine wakanifuata nyumbani wakaongea na bibi kuwa wangetaka nishiriki kwenye fashion show.

Mkavu: Siri ya urembo wako ni nini? 

Rashida: mini naishi Maisha ya ukweli sio fake life.Napenda kuishi Maisha ya kawaida

Mkavu: Hivi sasa una mahusiano yoyote au mume? 

Rashida: ninayo mahusiano lakini bado kuolewa

Mkavu: Na una mtoto?

Rashida: Bado mtoto

Mkavu: Kuna shida yoyote? 

Rashida: Sina shida ni mpango tu wa mwenyezi mungu, kwa mimi mwenyewe itakapofika wakati atapatikana.

Mkavu: Lakini umri unaenda ?

Rashida: Kila kitu kinaenda na wakati na mapenzi ya mwenyezi mungu

Mkavu: Unatamani ndoa? 

Rashida: Inategemea niko kwa mahusiano na mtu wa aina gani. Napenda mtu mvumilivu, mwenye mapenzi ya kweli, mtu ambaye atanipenda kidhati, na mwenye subra!

 

Fanya kuungana nasi kila ijumaa saa 1 Usiku kupitia DStv160 pekee