Pazia
160
Tamthilia
PG13
Main
VIDEO
HABARI
Regina ajaribu kumtoa Henry jela – Pazia
Video
19 Oktoba
Sakina awazaka kama Jemo anamchezeea akili. Regina ajaribu kumtoa Henry jela na Gloria na Eliza wataka kwenda Zanzibar. Bidu na Tunu waishia kugombania pesa toka kwa Waridi.
Jisajili kuangalia
Up Next
Ukwell kuhusu Naira na Frank wajulikana – Jua Kali
16 Oktoba
Happy na JB waingia ndani ya mahusiano– Huba
07 Oktoba
Gloria afariki! – Pazia
05 Oktoba
Kibibi amtafuta baba yake – Huba
23 Septemba
Jua la waka Nairobi! – Jua Kali
18 Septemba
Kibibi ahojiwa na mapolisi – Huba
09 Septemba
Maudhui Yanayohusiana
Video
Tunu adai talaka kwa Bidu.– Pazia
Odemba arudi kumdai mdai mtoto wake lakini Loreta hataki kumwambia ukweli. Henry afananishwa na Juma Mdudu na Mdoe adia abaki jela. Hatimaye Tunu adai talaka kwa Bidu na Edu ajiwa na majini.
Video
Nani atampata Henry? – Pazia S6 Ep16-18
Miriam, Eliza na Gloria bado wagombania penzi la Henry. Bandia bado anamlazimisha Bidu kwenda Congo. Mdoe asikiza kurudi kijijini na Henry aongea na Lolita kuhusu Nana, na Waridi amficha Edu kwa Regina.
Video
Hali ya Edu ya zidi kuwa mbaya – Pazia
Hali ya Edu yazidi kuwa Maya na apoteza kuongea na kuona. Fred amtimua Henry akidai kwamba sio Juma Mdudu na Eliza amfukuza Mdoe. Latifa afukuzwa nyumbani na Glory apanga mpango wa kumuweka Henry.
Habari
Henry apaka kazi mpya – Pazia
Baada ya kufukuzwa kazi, bosi wake Henry alimrudia na ofa mpya ya kazi