Pazia
160
Tamthilia
PG13
Main
VIDEO
HABARI
Gloria afariki! – Pazia
Video
05 Oktoba
Eliza apewa habari mbaya kuhusu hali ya Gloria na hatimaye Gloria afariki. Bidu na Tunu wagombana juu ya pesa.
Jisajili kuangalia
Up Next
Kibibi amtafuta baba yake – Huba
23 Septemba
Jua la waka Nairobi! – Jua Kali
18 Septemba
Kibibi ahojiwa na mapolisi – Huba
09 Septemba
Sakina atoroka – Pazia
07 Septemba
Jua la muwakia Prof Bill – Jua Kali
04 Septemba
Stella ana kesi kubwa! – Yalaiti
02 Septemba
Maudhui Yanayohusiana
Video
Nani atampata Henry? – Pazia S6 Ep16-18
Miriam, Eliza na Gloria bado wagombania penzi la Henry. Bandia bado anamlazimisha Bidu kwenda Congo. Mdoe asikiza kurudi kijijini na Henry aongea na Lolita kuhusu Nana, na Waridi amficha Edu kwa Regina.
Video
Hali ya Edu ya zidi kuwa mbaya – Pazia
Hali ya Edu yazidi kuwa Maya na apoteza kuongea na kuona. Fred amtimua Henry akidai kwamba sio Juma Mdudu na Eliza amfukuza Mdoe. Latifa afukuzwa nyumbani na Glory apanga mpango wa kumuweka Henry.
Video
Gloria aanzisha matatizo mapya! – Pazia
Gloria ampigiba simu Fred makati akiwa na Chamsia. Wakati Mdoe amfokea Gloria juu ya kutokuwa nyumbani na amwambia amuue. Mariam amwitia polisi Edu akiwa na Regina. Eliza aishia kumpiga Mdoe na Chamsia afika kumuona Gloria.
Video
Mdoe ataka kuoa tena! – Pazia
Fred aomba kuongea na Gloria, na Gloria adhani kwamba anampango wa kumrudisha kwa baba yake. Edu aanza kupoteza akili wakati Chamsia asema kwamba ana mpenda Fred. Waridi agombana na Regina wakati Bidu amwambia Tunu kwamba anatumia pesa nyingi. Mdoe aapa kumuoa Chamsia.