Logo
Jua Kali
channel logo dark

Jua Kali

160Tamthilia16

Lamata, Maria na Juma watamba katika Tuzo za Vijana Afrika Mashariki – Jua Kali

Habari
01 Septemba 2023
Leah Lamata, Mimi Mars na Juma wanafanikwa kutwa tuzo za vijana wa Africa Mashariki zilizofanyika tarehe 26 Agosti 2023.
Article

 Zilizofanyika jijini Arusha na kuhudhuriwa na viongozi mbai mbali kutoka Arfica Mashariki.Tuzo  hizi zimeandaliwa ili kutambua mchango wa vijana katika Sanaa za Afrika Mashariki.

 

Lamata amefanikiwa kuchukua tuzo ya mtunzi bora yaani , Outstanding youth on visual Arts

Mimi Mars, muigizaji bora wa kike, outstanding Youth Actress.

Na Juma alipokea Tuzo ya Mchekeshaji bora wa Kiume , outstanding Male Comedian

Maisha Magic Bongo tunawapongeza sana washindi wetu Leah Lamata, Maria na Juma  kwa mchango wao mkubwa katika tasnia ya filamu nchini.

[image]

Endelea kufuatilia kipindi cha #MMBJuaKali kupitia DStv chaneli 160 kila Jumatano hadi Ijumaa saa 3:30 usiku ndani ya Maisha Magic Bongo.

Tuzo za Vijana Afrika Mashariki - Jua Kali

Toa pongezi zako

Click here to make your selection
Poll
Lamata Leah
Poll
Mimi Mars
Tuzo za  Vijana Afrika Mashariki
Juma