Fred aomba kuongea na Gloria, na Gloria adhani kwamba anampango wa kumrudisha kwa baba yake. Edu aanza kupoteza akili wakati Chamsia asema kwamba ana mpenda Fred. Waridi agombana na Regina wakati Bidu amwambia Tunu kwamba anatumia pesa nyingi. Mdoe aapa kumuoa Chamsia.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ