Felix
Felix ndiye mwanaume wa kwanza kuonyesha mapenzi kwa Maria na alikuwa na hamu ya kumuoa lakini baada ya kumleta Maria nyumbani, aligundua kwamba Maria alikuwa aktembea na baba yake Thomas.
Thomas
Mr Thomas AKA “madevu” alimpenda Maria wakati alivyokuwa akifanya kazi ofisini kwake. Ingawa Mr Thomas alikuwa ameshaoa halikumfanya amuache Maria. Baada ya mke wake, Stella, kugundua mahusiano yao alijaribu kumuacha Maria lakini anadai kwamba bado anampenda.
Luka
Luka alikuwa anasali na Maria, baada ya muda alianza kumpenda na wakaanza mahusiano mpaka aka mvisha pete ndani ya kanisa na Maria akakataa. Luka anadai kwamba yeye bado anampenda Maria, aliamua kumleta mama yake kumsahidia kuongea na Maria na Maria alikataa.
Frank
Baada ya kuchoka kumchezea Naira, Frank aliamua kuzidisha mahusiano yake na Maria. Walikutana ofisini na Mary anajitahidi kuficha mapenzi yake na Thomas wakati akiwa na Frank.
Fuatilia #MMBJuaKali kila Jumatano hadi Ijumaa saa 3:30 usiku kujua Maria ataishia na nani.
