Ndoa ya Thomas na Stella iko mashakani baada ya Stella kugundua kwamba Thomas alikuwa na mahusiano ya siri na mchumba wa mtoto wake Felix, Maria. Alivyogundua hivyo, Stella alijaribu kuokoa ndoa yake, kwa kumwambia Maria achane na mume wake baada ya kumpiga na kumuweka hospitalini.
Baada yah apo Thomas aliomba msamaha kwa mke wake, Stella. Thomas alisema kwamba alikuwa na nia ya kuimarisha ndoa yao. Kumbe huko kwake anaficha siri zake. Siri yakwanza ni kwamba bado ana mpenda Maria, nay a pili ni kwamba alizaa mtotona Suzanne.
Stella alianza kuwa karibu na Felix kwasababu ya ndoa yake kudidimia. Stella alijikuta akiwa chumbani kwa Felix wakati Thomas yupo nyumbani. Je Mr Thomas atawafuma?
Fuatilia stori hii kila Jumatano hadi Ijumaa saa 3:30 usiku!
