Sada aamuka akiwa anajihisi vibaya na amdai Fabrizo kurudi nyumbani. Roy arudi nyumbani na uso uliobimba na Doris anataka kujua ni nini kilichotokea. Devi aendelea kuwa na maswali kuhusu Kibibi na Sada ataka kumfukuza Nandy tena.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ