Familia ya Amanzi yaanza kumpa Munir madaraka, jambo linalomkera Fahad mpaka kuchukua picha ya mdogo wake na kuivunja kwa ngumi!
Mkewe anamkuta katika hali hiyo na kujaribu kumtuliza – lakini hasira za Fahad zimefika pabaya.
Usikose #JIVU kila Jumatatu hadi Ijumaa saa 3:00 Usiku ndani ya Maisha Magic Bongo, Ch. 160.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ