Anna anakiri kosa lake la kutoifikisha karatasi ya kesi mahakamani. Mbele yake yupo Diba na Davis. Kwa upande mwingine, wawakilishi wa familia ya Diba wamefika nyumbani kwa Profesa kumradhi yeye na mkewe kuzungumza na Anna, binti yao kuhusu kumwachia huru Diba kimapenzi kwa madai kuwa Anna ameikaba moyo na akili ya Diba.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ