Fred yuko kituo cha police kuwaonyesha mapolisi ni nani alimpiga risasi Edu. Wakati Gloria amwambia Jemo kwamba Edu bado yuko hai na yupo na Regina. Henry na Mariam waja kumtembelea Regina na Edu nyumbani na washangazwa na maisha yao yakifahari. Gloria amwambia mama yake kwamba Jemo alimvalisha pete.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ