Jefa amwambia Mwali kama anahisia nae na a kwamba anampenda mbele ya rafiki Cheko. Nozo amwambia Zawadi kwamba hana mapenzi nae na hataki ndoa ya kulazimishwa. Chifu Pingu atayarisha ndoa ya Tausi na Semindu amuokoa mama yake mikononi mwa baba yake.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ