Mambo yanazidi kupamba moto kwenye familia ya Nguzu! Mwanida na Kojack wanatupiana maneno mazito hadharani. Kojack anamuita Mwanida mwizi wa mtoto – kauli inayotikisa nyumba nzima! Je, hii ni vita ya maneno tu au kuna ukweli unaofichwa nyuma yake
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ