Fabrizio akamatwa mbele ya Sada, wakati harabi ya kifo cha Miraj na Annette chafika kwa Doris. Baba Nelly afanya mpango wa kumlinda Nelly na Bi Habiba amuuliza Kibibi kuhusu kifo cha Miraj. Hatimaye Kibibi aja kumtembelea Fabrizio
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ