Diba afika ofisini kumona Anna wakati Thomas afika ofisini kwa Frank. Mke wa Idi bado anataka mume wake arudi. Mama Thomas agundua uchawi nyumbani kwake, na Vivian anahofu kwamba ametambuliwa. Siri ya Auntie zai yajulikana na Felix akutana na Maria.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ