Zai amfokea msicha mpya wa kazi juu ya kumpikia Profesa chakula. Frank amlazimisha Maria kupokea simu mbele yake. Felix ajikuta kati ya ugomvi wa Stella na Thomas juu ya Stella. Anna amwambia Diba kwamba yupo tayari kufunga ndoa nae na aomba msamaha. Mfanya kazi wa Profesa ajaribu kumuua mama yake.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ