Devi amuonya Monica kuhusu Kibibi na amwambia kwamba ni bora kutojaribu kumshinda na Monica amwambia Devi kuhusu mahusiano ya Kibibi na Fabrizio. JB akamatwa na Yakubu akataa kusema kwamba anamjua. Wakati Sada agomba na wakina mama wakati Nicole aaga.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ