Fred ajakumuonya Jemo akiwa anatafutwa na Inspekta Barry. Tunu bado yuko kwa mganga kujaribu kumuokoa mume yake aliyelogwa. Sakina atoroka na Mzee wake aja kwa Edu na amlazimisha kulipa mahali ya shilingi mia moja kumuoa. Mke wake Sadiq amuomba amsaidie kuzaa mtoto kumpata mtoto.
—
Endelea kutazama DStv chaneli 160
Angalia tamthilia bora Tanzania kupitia DStv: https://www.dstv.com/maishamagicbongo/sw-za/home
Pakua App ya DStv: https://bit.ly/36ZGjkz
Facebook: https://www.facebook.com/MaishaMagicBongo
Instagram: http://instagram.com/maishamagicbongo
TikTok: https://www.tiktok.com/@maishamagic_bongo
Twitter:https://twitter.com/MaishaMagicTZ